![]() |
Mbunge wa Viti maalum(CCM) Mkoa wa Arusha Namelok Sokoine akiangalia Bweni la Shule hiyo ya Irkisongo Wilayani Monduli lililoteketezwa na Moto Jana. |
![]() |
Mwakilishi wa kiwanda chaTanfoam cha Jijini Arusha Sajid Ibrahim(kulia) akimkabidhi Sehemu ya Msaada wa Magodoro 100. |
![]() | ||||||||
Mapacha wanaoishi Wakaazi wa New York Marekani Joy na Jane wakimkabidhi Mkuu wa Shule hiyo Mama Nyange Sehemu ya Msaada wao wa Kilo Zaidi ya Kumi za Misumari. |
Irkisongo Wilayani Monduli, Baada ya kupatwa na Maafa ya Moto.
Misaada hii imetokana na Harambee ya Papo kwa Papo aliyoifanya
Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa akitumia Simu yake ya Kiganjani
Kwa maelezo zaidi na picha tembelea.
http://elowassa.com/social_events.php?Active=News&idsoc=1&idpol=1&idpub=1&soc=0&pol=0&pub=0
No comments:
Post a Comment