
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili,Mh. Ally Hassan Mwinyi akihutubia kwenye Sherehe hizo.


Waziri
Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akitoa salamu kwa wakristo waliofika
kwenye Sherehe hizo jana,ambapo ameliomba Kanisa Katoliki kuisaidia
serikali katika kukabiliana na tatizo la ajira kwa vijana.

Askofu
Mkuu Mpya wa Jimbo la Ifakara,Muhashamu Salitaris Melchior Libena
akiongoza ibada yake ya kwanza akiwa ni Askofu wa Jimbo Jipya la Ifakara
mara baada ya kusimikwa jana

Askofu
Mkuu Mpya wa Jimbo la Ifakara,Muhashamu Salitaris Melchior Libena
akitoa baraka zake kwa Viongozi wa Serikali waliohudhulia Sherehe hizo
za kusimikwa kwake jana.

Waziri
Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Muadhama Polycarp
Kardinali Pengo mara baada ya kumalizika kwa Sherehe ya Kuzindua Jimbo
Jipya la Kanisa Katoliki Ifakara na kusimikwa kwa Askofu Mpya wa Jimbo
hilo iliyofanyika jana Ifakara,Mkoani Morogoro.

Mh. Lowassa akibadirishana mawazo na Askofu Mkuu wa Jimbo la Songea.

Mh. Lowassa akiwapungia mkono wakazi wa Ifakara.

Mh. Lowassa akizungumza na Mmoja wa wananchi wa Mji wa Ifakara.

Waziri
Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akitoa salamu kwa wakristo waliofika
kwenye Sherehe hizo jana,ambapo ameliomba Kanisa Katoliki kuisaidia
serikali katika kukabiliana na tatizo la ajira kwa vijana.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili,Mh. Ally Hassan Mwinyi akimpongeza Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa.

Waziri
Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa
Morogoro,Mh. Joel Bendera wakati alipokuwa akiwasili kwenye Ofisi ya
Mkuu wa Wilaya ya Kilombero,kabla ya safari ya kuelekea kwenye Sherehe
ya Kuzinduliwa kwa Jimbo Jipya la Kanisa Katoliki Ifakara na kusimikwa
kwa Askofu Mpya wa Jimbo hilo.

Waziri
Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa
Morogoro,Mh. Joel Bendera wakati wakielekea kwenye Ofisi ya Mkuu wa
Wilaya ya Kilombero jana.Watatu Kulia ni Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu,Mama
Regina Lowassa.

Waziri
Mkuu Mstaafu Edward Lowasa akisalimiana na Waziri wa Afya na Ustawi wa
Jamii Dk. Hadji Mponda kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Joel
Bendera na Mzee Alli Hassan Mwinyi.

Rais
Mstaafu wa Awamu ya Pili,Mh. Ally Hassan Mwinyi (kushoto) na Mkewe Mama
Sitti Mwinyi (katikati) wakiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu
Mstaafu,Mh. Edward Lowassa (wa pili kulia) pamoja na Mkewe Mama Regina
Lowassa (kulia) kabla ya kuanza safari ya kuelekea kwenye Sherehe ya
Kuzinduliwa kwa Jimbo Jipya la Kanisa Katoliki Ifakara na kusimikwa kwa
Askofu Mpya wa Jimbo hilo,Muhashamu Salitaris Melchior Libena
iliyofanyika jana Ifakara,Wilayani Kilombero Mkoani Morogoro.

Kwaya ya Watoto ikiimba katika ibada hiyo.

Waumini wa Kanisa Katoliki Ifakara wakiwa katika ibada hiyo.
No comments:
Post a Comment