Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh.
Edward Lowassa akisalimiana na Mdogo wa Marehemu Betty Ndejembi, Aisha
Ndejembi aliyeuawa wiki mbili zilizopita jijini Dar es salaam.Pembeni ni
Mzee Pancras Ndejembi na Mama Ndejembi ambao Marehemu alikuwa Mjukuu
wao.
|
No comments:
Post a Comment