Wednesday, 10 September 2014

MH. LOWASSA AKIPIGA TIZI MJINI DODOMA

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli. Mh. Edward Lowassa akifanya mazoezi katika mitaa ya mji wa Dodoma mapema jana asubuhi kabla ya kwenda kuhudhulia vikao vya Bunge maalum la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma. Mh. Lowassa aliwahi kutamba sana kwenye mchezo wa mpira wa kikapu zamani.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli. Mh. Edward Lowassa akifanya mazoezi katika mitaa ya mji wa Dodoma mapema jana asubuhi kabla ya kwenda kuhudhulia vikao vya Bunge maalum la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma. Mh. Lowassa aliwahi kutamba sana kwenye mchezo wa mpira wa kikapu zamani.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli. Mh. Edward Lowassa akifanya mazoezi katika mitaa ya mji wa Dodoma mapema jana asubuhi kabla ya kwenda kuhudhulia vikao vya Bunge maalum la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma. Mh. Lowassa aliwahi kutamba sana kwenye mchezo wa mpira wa kikapu zamani.

No comments:

Post a Comment