MH. LOWASSA AMJULIA HALI SHEIKH MKUU WA MKOA WA DODOMA
Sheikh Mkuu Mkoa wa Dodoma Sheikh Ahmad Zubeir(kulia) akimuombea dua Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh. Edward Lowassa alipokwenda kumjulia
hali Sheikh Zubeir nyumbani kwake Kikuyu flats.Katikati ni Sheikh
Jumanne Gombat.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh.
Edward Lowassa akimjulia hali Sheikh Mkuu Mkoa wa Dodoma Sheikh Adam
Zubeir nyumbani kwake Kikuyu Flats.Sheikh Zubeir amekuwa akisumbuliwa na
maradhi na alipelekwa India kwa matibabu hivi karibuni.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh.
Edward Lowassa akimjulia hali Sheikh Mkuu Mkoa wa Dodoma Sheikh Adam
Zubeir nyumbani kwake Kikuyu Flats.Sheikh Zubeir amekuwa akisumbuliwa na
maradhi na alipelekwa India kwa matibabu hivi karibuni.
No comments:
Post a Comment